Lyrics: Chochote Utapata - K-Lyinn

"Chochote Utapata" from the album "Crazy Over You" (Translation)
By K-Lyinn featuring Noorah

Kama ni penzi labda utapata ukimwacha
(niambie nani huyo?)
Maybe chochote utapa unachokitaka
(ndio nachotaka hicho)
Nasema penzi labda utapa ukimwacha
(niambie basi nani huyoo?)
Ohh baby vyote utapata ukirejea hapa
(ndio nalotaka hilo)

Kila siku kaka unanifuata
Unadai ya kuwa unanitaka
(ndio ukweli)
Eti unanipenda unaniwaza
Hulali bila mimi kuniona
Pesa unaleta sijakuomba
Naishi home kwetu bila shida
(makaratasi tu hayo)
Unanishangaza
Wewe unamchumba
Sasa kwangu ni nini unataka
Na anavyokupenda
Nimeshasikia
Nadhani ukimwacha atadata

Kama ni penzi labda utapata ukimwacha
Maybe chochote utapa unachokitaka
Nasema penzi labda utapa ukimwacha
Ohh baby vyote utapata ukirejea hapa

Oh no no no
Penzi kwangu ni thamani
(najua hilo)
Kutumiwa sikubali
(sijaja kwa hilo)
Naona kama unanigasi
Kunizushia mi sitaki
Ondoka nenda zako mbali
(tuliza hasira baby)

Kama ni penzi labda utapata ukimwacha
Maybe chochote utapa unachokitaka
Nasema penzi labda utapa ukimwacha
Ohh baby vyote utapata ukirejea hapa

Sio mchumba ni dame no
Niletacho si game no
Si kwa dos wala fame no
Easy X5, Benz au Lexus
Kinachokufaa ni penzi naleta
Usinizungushezungushe
Mpaka nikalia
Au furaha yako
Mpaka kidume nidondoshe tears
Penzi ndio Bonge la zawadi
Na wewe si unalihitaji
Niweke mimi incharge
Nikupe
Kuna vyovyote
Ninavyosaka
Wababaikizi chaa
Ni hivyo mimi nataka
Yeahhh
Kuitwa playboy sipendi me
So baby girl would you marry me

Kama ni penzi labda utapata ukimwacha
Maybe chochote utapa unachokitaka
Nasema penzi labda utapa ukimwacha
Ohh baby vyote utapata ukirejea hapa


MP3 Download Links! Click on your favorite song.
Lyrics: Chochote Utapata - K-LyinnSocialTwist Tell-a-Friend

No comments:

Post a Comment

Submit your comments here: