Lyrics: Si Uliniambia - MB Dog

“Si Uliniambia” from the single “Latifa
By MB Dog

Si kwamba tu naimba sometimes huwa nalia
Hofu na mashaka ulipo nakuondoshea
Ulisema waja mnyamwezi nikakungojea
Sema mami sema lini utarejea?
Eh eh eh, I love you ma
Oh oh oh, I love you girl
Eh eh eh, I love you ma
Oh oh oh, I love you girl

Uliposema waja wee mi nikakungojea
Mara muda umepita Abdul Bonge umeshamboa
Hivi kangoja mpaka Mola kamchukua?
Sema mamy sema lini utarejea?
Eh eh eh, I love you ma
Oh oh oh, I love you girl
Eh eh eh, I love you ma
Oh oh oh, I love you girl

Si ulinambia kwamba waja
Man Dog Man nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dog Man nakungoja
Bongo toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali huko uliko mi nina mashaka
Nakosa raha kabisa

Penzi lako nkilikosa baby kwangu soo
Ndo mana mi nakwita baby baby kwangu njoo
Nakupa laivu baby unanitesa roho
Ndo mannakonda nadata na picha zako
Au ndo ule mfano baby wanipenda roho
Na ile nyama mbichi baby itaniuma roho
Kama ni dili ntazicheza baadae
Kwanza rudi home washangae
Rudi home baby ili wapagawe
 
Nicheze nawe Kuchi Kuchi Hota Haii

Nakusubiri baby, nakungojea mchumba
Nakusubiri nakungoja
Mchumba usinizuge
Nakusubiri baby nakungojea mchumba

Si ulinambia kwamba waja
Man Dog Man nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dog Man nakungoja
Bongo toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali huko uliko mi nina mashaka
Nakosa raha kabisa

Na kama waja niambie baby yee iye
Kama utanitosa mi nijua baby yee iye
Haina mana sina jinsi
I love you girl
I love you shori everyday
Haina mana sina jinsi
I love you girl
I love you shori everyday

Si ulinambia kwamba waja
Man Dog Man nakungoja
Si ulinambia kwamba waja
Man Dog Man nakungoja
Bongo toka ulipotoka miaka imepita
Sijakuona wangu my darling
Ni mbali huko uliko mi nina mashaka
Nakosa raha kabisa

Lyrics: Si Uliniambia - MB DogSocialTwist Tell-a-Friend

No comments:

Post a Comment

Submit your comments here: